Lilian, Dar es Salaam
Rushwa

We have a big corruption issue in this country. You go to look for a job, you have good certificates, are well-educated. When you come to the office, they start by saying: give me a certain amount of money, which is affecting the citizens in a negative way. And these people will come up with other things to follow up for no reason. Surprise, in the end you find out that these people have relatives without qualifications...
Swala la rushwa limekithiri hapa nchini. Unaenda kutafuta kazi, una vyeti vyako vizuri, umesoma. Unavyoenda kule maofisini, unaenda unanza kuambiwa: unipe kiasi fulani cha pesa, ambacho hicho inakuwa ni kama inaathari wananchi. Na watu, inakuwa mambo mengine ya ufuatiliaji ambao hauna maana. Kumbe, matokeo yake unakuta wale watu wana ndugu zao ambao hawana hata kazi, wanachukua vyeti wanavifoji.
We have a big corruption issue in this country. You go to look for a job, you have good certificates, are well-educated. When you come to the office, they start by saying: give me a certain amount of money, which is affecting the citizens in a negative way. And these people will come up with other things to follow up for no reason. Surprise, in the end you find out that these people have relatives without qualifications...
