Honorath, Dar es Salaam
Maisha ni kama mti, unaoota nje, ambao katika hali yeyote hautegemei kukaa chini. Kwa hivyo, kama unafanya kazi – fanya kazi kwa moyo wako wote. Na la msingi kabisa: amini katika ndoto zako. Amini kwamba kuna siku zitafanikiwa na uendelee kuamini na usikate tamaa hata siku moja.
Life is like a tree, it grows out there, and whatever happens it doesn't expect not to grow. And so, if you have a job – carry it out with all your effort. And most importantly: believe in your own dreams. Have faith that one day they will come through, so keep on believing and never despair.
