Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Ambokile, Korogwe

Ambokile

Ningependa kuona kwamba wagonjwa wa akili, wawe kama wenye maradhi mengine wanavyokwenda kutibiwa nyumbani. Basi hata magonjwa ya akili pia kuna uwezekano wa kwenda kumtibu nyumbani, ili kuondoa hii hali ya kwamba kila mgonjwa lazima akalazwe hospitali. Inawezekana kabisa kumtibu mngonjwa katika mazingira ya nyumbani kwake.


I would like to see that the mentally ill are treated like any other ill person who can be treated at their home. A mentally ill person too can be cured at home, they do not have to be admitted to hospital. It is perfectly feasible to treat such a person in their home environment.

Vote Result
----------