Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Ukimwi

Subi, Lushoto

Swali, kuhusu maambukizi ya virusi vya ukimwi. Ni kwanini Tanzania virusi vya ukimwi vinazidi, nchi za wenzetu zinapunguwa? Ningeona serikali ya Tanzania ichunguze nchi za wenzetu wanavyofanya, wafuate mfumo huo na Tanzania.


A question regarding the spreading of HIV/AIDS: why is the infection rate still going up in our country while it is decreasing in the neighbouring countries? Our government should investigate what others are doing and replicate it here.

Vote Result
----------

UKIMWI

Jina

KADE

Maoni

<p>Maoni yangu mimi kama kijana nafikiri pia naona serikali hajaamua hasa kupambana na huu ugonjwa kikamilifu kwani imekuwa ikiongea ilikujitoa lawama kwamba inaliona janga hili na mimi naona serikali imeamua kuacha vijana tuangamie kwasababu haifuatilii ipasavyo.</p><p>Kwanini na kwasababu gani ukimwi ushike kasi kiasi hicho na kama ni mmomonyoko wa maadili kwanini yamomonyoke kiasi hicho.hili swala serikali isilichukulie kijina kwamba hiyo ni serikali basi itafanikiwa kwa sababu  serikali ina mkono mrefu utumike kuwa nyoosha wanao pororomosha maadi yetu kwakuiga kila kitu hata vilivyo kinyume na madili ya kitanzania.</p>

Simu

0713232305

Barua pepe

obila_kd@yahoo.co.uk
Vote Result
----------

UKIMWI

Jina

JOSEPH PASTORY

Maoni

Mimi ninaamini kuwa elimu kuhusu ukimwi imeenezwa kwa asilimia mia moja, kila Mtanzania anaelewa elimu ya msingi ya Ukimwi, yaani Ukimwi unaambukizwa vipi, hauna tiba na jinsi ya kuepuka kuambukizwa. Ukiongea na waayhirika wa Ukimwi walio wazi utagundua kua waliamini kuwa Ukimwi hautawapata wao, hili ndio kosa kubwa kwa wengi wetu kudhani kuwa &quot; sio mimi&quot; anayeweza kuambukizwa ukimwi.

Simu

0784 432420

Barua pepe

Vote Result
----------

uwazi kuhusu ukimwi

Jina

gift cg mchawa

Maoni

wazazi wawe wazi kwawa watoto kwani wasipo waweka wazi kuhusu ukimwi wataangamia

Simu

Barua pepe

Vote Result
----------
Syndicate content