Ardhi
ARDHI- MKUKUTA MKURUBITA HAZIFAFAMIKI WALA HAZIFANYIWI KAZI
Submitted by Mwananchi on Mon, 2006-10-30 13:08. ArdhiJina
OLIVER PENON LEMA,
Maoni
Mpango wa MKUKUTA , MKURATIBA hili jambo wananchi hawafahamu hata kidogo ni vizuri, elimu yake iongezwe kwenye luninga magazeti,redio vipeperushi,
Simu
0755106384
KUHUSU ARDHI
Submitted by Mwananchi on Sun, 2006-10-22 14:18. ArdhiJina
NIWAELY OMBENI
Maoni
NAPENDA KUWAAMBIA WAHUSIKA WA KUJENGA UWANJA WA NDEGE MAANA SASA SIKU ZIMEKUWA NYINGI WATU HAWAJENGI MAANA WAPO KWENYE ENEO LA UWANJA WA NDEGE NYUMBA SASA ZINAKARIBIA KUBOMOKA HUWEZI KUJENGA KWA SABABU UPO ENEO LA UWANJA WA NDEGE UKIJENGA HUPEWI FIDIA KWA HIYO NAOMBA WAHUSIKA WALIANGALIE HILO ILI TUWEZE KUJENGA AU KAMA NI KWELI KUNAKUHAMA BASI WASIJENGE NITASHUKURU ENDAPO MTALIFANYIA KAZI HILO AKSANTE SANA
Simu
0752-367327
Lekei, Same
Ardhi | Elimu | KilimoMimi napenda kwamba wafugaji watengewe maeneo maalum ya kufuga ili waweze kuondokana na hali ya migogoro ya wakulima. Na jamii hiyo hiyo ya wafugaji apewe nafasi ya kielimu.
I would like the pastoralists to be given their own areas dedicated to grazing cattle, so that we can end this state of conflict with farmers. And these pastoralist people should be given opportunities to education.
