Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

UCHANGIAJI WA ELIMU YA JUU KWA 40%

Jina

Jonas J.Kimati

Maoni

Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu cha kilimo Sokoine.Kinachoniuma ni kuona wanafunzi wanateseka kuhusu suala zima la mikopo hasa kwa wanafunzi wa mwaka wa tatu.Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanalipiwa 60% ya garama zote ikiwa ni ada,malazi,chakula na mengineo.Je,hizo 40% watapata wapi huku angali ni watoto wa wakulima wenye kipato duni?Mfano,ada wanayotakiwa kuongeza ni wastani wa laki tano.Si hayo tu,tumejionea wenyewe ni jinsi gani wanafunzi wa mwaka wa kwanza wananyimwa malazi baada ya kufunguliwa chuo tarehe 08/01/2007 wakitakiwa kukamilisha ada kwanza. Ninachoweza kusema mimi,kulikuwa na utaratibu mbovu wa taarifa kuhusu ushirikishwaji uchangiaji wa gharama za elimu ya juu kwa 40%.Wazazi wengi hawafahamu kuhusu hilo na watakaomia ni wanafunzi.Inabidi bodi isahau kuhusu uchangiaji wa elimu na itoe mkopo kwa 100%,mwaka ujao wa masomo iandae programu nzuri na kila atakayechukua fomu za kujiunga na chuo chochote ajue atachangia kwa asilimia fulani.

Simu

0713803083

Barua pepe

jonskimati@yahoo.co.uk
Vote Result
----------

mikopo elimu ya juu

Jina

Mwl.mzeru,Deogratias Paul morogoro

Maoni

Nasikitishwa na hatua ya serikali kusitisha mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu shahada ya uzamili.(masters).kitendo hiki kinatufanya watanzania tushindwe kuingia kwenye soko la ushindani la ajira na pia kupoteza wataalamu ambao wangesaidia kuiletea Nchi maendeleo na kuwajengea uwezo wa kitaaluma.

Simu

0786 709600

Barua pepe

mzerudp2005@yahoo.com
Vote Result
----------

Adhabu mashuleni

Jina

Emanueli shayo

Maoni

Mimi ninaomba viboko viondolewe mashuleni

Simu

0784751996

Barua pepe

Vote Result
----------

Daladala

Jina

Risper

Maoni

Moja ya sababu inayopelekea wafanyakazi wa daladala kukiuka miiko sahihi ya muongozo wa usafiri wawapo barabarani ni tamaa ya fedha iliyojengeka kati yao na matrafiki. Hivyo wapo tayari kufanya kila lisilostahili kwa sababu wanajua hata wakikamatwa watahonga kitu ambacho si sahihi. Kwa kifupi ndio hivyo.

Simu

Barua pepe

tatizomuda@yahoo.com
Vote Result
----------

daladala

Jina

Juma Richard Okumu

Maoni

tunaomba idara inayohusika na masuala ya usafirishaji ihakikishe kwamba watoto wanapata haki kama binadamu wengine ndani ya daladala .pia wahakikishe daladala zinawafikisha abiria mwisho wa safari kwa sababu kumekuwa na mtindo mpya wa kuwashusha abiria kabla ya kufika waendako.hii inatokea baada ya abiria wengi kushukia njiani na wachache wanaobaki hushushwa kabla ya kufika mwisho wa safari.ili kupunguza gharama ya mafuta.

Simu

Barua pepe

jmrchrd@yahoo.com
Vote Result
----------

RUSHWA

Jina

JUMA RICHARD OKUMU

Maoni

NINAIOMBA SERIKALI IANGALIE SUALA LA RUSHWA HASA KATIKA VYOMBO VYA USALAMA WA RAIA KAMA MAHAKAMANI, POLISI NA MAMLAKA YA MAPATO KWA SABABU RUSHWA IMEKITHIRI SANA SEHEMU HIZO.

Simu

Barua pepe

jmrchrd@yahoo.com
Vote Result
----------