rushwa
Submitted by Mwananchi on Mon, 2007-01-15 10:22.
Rushwa
Jina
juma richard okumu
Maoni
kwa kweli suala la rushwa limekuwa ni suala kubwa sana kwa sababu linagusa jamii nzima mfano kwenye vituo vya afya na vituo vya polisi kumekuwepo na vitendo vya rushwa kwa maana hiyo tunaomba serikali ihangalie suala hilo.hasa hapa kwetu musoma na sehemu mbalimbali tanzania.
