Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

rushwa

Jina

juma richard okumu

Maoni

kwa kweli suala la rushwa limekuwa ni suala kubwa sana kwa sababu linagusa jamii nzima mfano kwenye vituo vya afya na vituo vya polisi kumekuwepo na vitendo vya rushwa kwa maana hiyo tunaomba serikali ihangalie suala hilo.hasa hapa kwetu musoma na sehemu mbalimbali tanzania.

Simu

Barua pepe

jmrchrd@yahoo .com
Vote Result
----------