Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Afya

Jina

Sebastian Theophil

Maoni

Selikari yetu ya Tanzania ingetambua nafasi ya wataalam wa lishe wanaohitimu chuo kikuu cha kilimo cha sokoine na kuanzisha ajira yao katika kila hospitali ili watumie utaalam wao kwa kutoa huduma kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na maradhi yatokanayo na lishe. Kwa hali ya sasa naona selikari haijatambua kabisa uwepo wa wataalam hawa na kuwatumia.

Simu

+255713593475

Barua pepe

sebathe2yahoo.co.uk
Vote Result
----------