Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

KERO YA MGAO WA UMEME TANZANIA

|

Jina

ROLAND MAANGA

Maoni

Uchumi wa Tanzania unaporomoka kwa kasi kubwa kutokana na ukosefu wa nguvu ya umeme wa uhakika. Madini ya Uranium yanayotengeneza nishati ya nyuklia yanapatikana Tanzania. Natoa wito kwa Wizara ya Nishati na Madini kuwasiliana na nchi kama Iran na Korea waombe kupewa teknolojia ya uzalishaji nguvu za umeme kwa njia ya nyuklia na tutaondokana kabisa na tatizo sugu la umeme linalokabili nchi yetu.

Simu

+255784459850

Barua pepe

rmaanga@hotmail.com
Vote Result
----------