haki
Submitted by Mwananchi on Fri, 2006-10-20 18:02.
Jina
franco malinga
Maoni
Maoni yangu ni juu ya mabaraza ya kata sipendi kuona mshitakiwa akiwekwa Lokap eti kwasababu ya mashahidi wa mshitaki hawafiki kutoa ushahidi siku zilizo pangwa kusikilizwa kesi.Na kwanjia hiyo eti mashahidi wa mshitaki watafika kutoa mashitaka. Kwanikuna uhusiano gani kati ya mashahidi wa mshitaki na mshitakiwa.
