Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

WATAALAMU WAPEWE KAZI KULINGANA NA ELIMU NA FANI ZAO.

Jina

JOSEPHAT KAHENDAGUZA

Maoni

NAPENDA KUTOA MAONI YANGU KUHUSU WATAALAMU WETU KUPEWA KAZI TOFAUTI AU CHINI YA NGAZI YA UWEZO WAKE KITAALUMA KUNARUDISHA NYUMA MAENDELEO YA NCHINI NA KUMFANYA MTU KUDHALALIKA NA KUKOSA THAMANI YA ELIMU YAKE. KITU AMBACHO KINAMFANYA AFIKIRIE AIDHA KUHAMIA MAHALA PENGINE AU NCHI NYINGINE AMBAPO WANATAMBUA UMUHIMU WA MTAALAMU KAMA HUYO. MFANO, MTU AMBAYE NI MHANDISI MKUU WA MASWALA YA MAJI NA MAZINGIRA, MWENYE SIFA ZA SHAHADA MBILI ZA JUU( BSC NA MASTERS DEGREES)PAMOJA NA UZOEFU WA MIAKA ZAIDI YA KUMI KATIKA NCHI ZA ULAYA NA AFRICA ANAAMBIWA AENDE WILAYA CHINI YA TECHNICIAN IV AMPANGIE KAZI ZA KUFANYA. KITU AMBACHO MTU KAMA HUYU HATA KAMA ANA MPANGO MWENDELEVU HATAWEZA KUFANYA KAZI NA UWEZO WA KUELEWANA KITAALUMA HAUPO. HIVYO UTENDAJI KAZI HAUTAZAA MATUNDA YOYOTE.

Simu

0786142051

Barua pepe

jkahendaguza@yahoo.co.uk
Vote Result
----------