WOTE TUNA HAKI
Submitted by Mwananchi on Fri, 2006-10-13 07:45.
Siasa
Jina
Maston W. Mwakila
Maoni
Mimi huwa nashangaa sana kuona viongozi wanaingia mikataba mikubwa mikubwa na mashirika ya nje ya ukopeshaji lakini wananchi mkitaka kuiona wanang`aka. Mbona kulipa sisi wananchi wa kawaida ndio walipaji wakubwa? Mnadhani kupewa mamlaka ya kusaini mikataba kwa niaba yetu ndio mna akila sana,ni mgawanyo wa madaraka tu. Kama hakuna mizengwe na rushwa katika mikataba hiyo na kama kweli mlifanya kwa nia njema ya maendeleo ya nchi yetu mbona mnaogoba kutuonyesha? Tunawasiwasi na mashaka katika maamuzi yenu. Kama mko safi weka mambo hadharani!
